News
Hizi ndizo Jezi mpya za Timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars
Hizi ndizo Jezi mpya za Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars).
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kushirikiana na mzabuni wa jezi za Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), Sandaland leo wamezindua jezi mpya za Stars.
TFF na Sandaland leo wametambulisha jezi za aina tatu ambapo ya bluu ni jezi ya nyumbani, yenye mistari ya njano na bluu ni ugenini na jezi ya tatu ambayo ina rangi nyeusi na kijani.