Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Bima ya afya kwa wote kuendelea kutambua CHF

Bima ya afya kwa wote kuendelea kutambua CHF

“Katika kufikia lengo la Bima ya Afya kwa Wote na kwa kutambua uzoefu na uwekezaji uliofanywa na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF),

Serikali inapendekeza kufanya marekebisho kwa kuanzisha kitita cha bima ya afya cha jamii (Community Health Insurance Package – CHIP) ikiwa ni mpango mbadala wa Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ambapo Sheria iliyoanzisha Mfuko huo inapendekezwa kufutwa na kuianzisha upya chini ya sheria hii” Waziri @ummymwalimu

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.