Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Idadi ya Wanaume wanaopima DNA yaongezeka Nchini Tanzania

Mkemia Mkuu wa Serikali ya Tanzania Dr. Fidelis Mafumiko amesema idadi ya Wanaume wanaojitokeza kupima DNA ( kuhakiki uhalali wa Watoto wao ) imeongezeka kwa sasa Nchini Tanzania tofauti na miaka miwili hadi mitatu iliyopita.

Kwenye mahojiano mafupi na @dw_kiswahili Dr. Fidelis amenukuliwa akisema “naweza kusema elimu ile ya kujua kwamba kumbe kuna teknolojia inaweza kusaidia utambuzi wa Watoto, idadi ya Watu wanaojitokeza imeongezeka kidogo ukilinganisha na miaka miwili mitatu nyumba lakini hii yote imetokana na elimu ya vina saba kwa sababu kazi mojawapo tunayofanya ni kuwaelimisha”

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.