News
Mkataba wa Kocha Mkuu wa Simba, Roberto Oliveira ‘Robertinho’ wavunjwa rasmi
Kocha Mkuu wa Simba SC, Mbrazil Roberto Oliviera maarufu kama Robertinho ameoneshwa mlango wa kutokea katika Klabu hiyo siku chahche baada ya kupokea kichapo cha mabao 5-1 kutoka kwa watani zao wa jadi Yanga.
Robertinho amejiunga na simba mwishoni mwa msimu uliopita na amefanikiwa kuipa Simba Kombe la Ngao ya Jamii mwanzoni mwa msimu huu
Soma hapa taarifa Rasmi, Kisha Utoe maoni yako;