Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mwanamitandao afariki baada ya kufanya upasuaji wa kurekebisha shape

Mwanamitandao wa huko Brazil #LuanaAndrede (29) amefariki dunia muda mchache baada ya kufanyiwa Surgery, Tukio hilo lilitokea katika Hospitali ya São Luiz huko São Paulo, ambapo Andrade aliandamana na familia yake kwa ajili ya upasuaji wa urembo.

Kulingana na jarida la People, wakati wa upasuaji huo, uliochukua takriban masaa mawili na nusu, Andrade alipata tukio la kupumua kwa ghafla, na kusababisha mshtuko wa moyo na mishipa kuziba kupitisha damu.

Hospitali ilitoa taarifa iliyosema, “Upasuaji ulikatizwa, na mgonjwa alifanyiwa vipimo vilivyoonyesha mvilio kwenye mishipa ya damu na kupelekwa ICU, ambako alipatiwa dawa na matibabu”.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.