Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

New! Timu ya Yanga SC imefanikiwa kuingia tano bora

Timu ya Yanga SC imefanikiwa kuingia tano bora katika kipengele cha kuwania tuzo ya Klabu bora ya mwaka ya CAF 2023.

Timu nyingine zilizofanikiwa kuingia tano bora ni USM Alger ya Algeria, Al Ahly ya Misri, Wydad Casablanca ya Morocco na Mamelod Sundowns ya Afrika Kusini.

Sherehe ya utoaji wa tuzo hizo itafanyika December 11, 2023 Jijini Marrakesh nchini Morocco.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.