Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Rais Wa IPU Dkt. Tulia Ackson Awasili Mashariki Ya Kati Kwa Ziara Ya Siku Mbili

Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Dkt. Tulia Ackson, Novemba 27, 2023 amewasili Mashariki ya Kati kwa ziara ya siku mbili yenye lengo la kujadili jinsi jumuiya ya kimataifa kupitia IPU inaweza kuunga mkono juhudi za kupata suluhu ya mgogoro unaoendelea baina ya Israel na Palestina.

Katika ziara hiyo ya kidiplomasia, Dkt Tulia anatarajia kukutana na Viongozi wa pande zote mbili kwa lengo la kutafuta amani katika eneo hilo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.