Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Ukiwa na Wasiwasi unaweza kukumbana na dalili hizi

Ukiwa na Wasiwasi unaweza kukumbana na dalili hizi,

Kila mtu kwenye vipindi flani vya maisha huweza kukumbana na wasiwasi, hofu na wasiwasi huweza kuwa shida ya muda mfupi au likawa tatizo la muda mrefu(Chronic anxiety).

Wasiwasi huweza kuja kutokana na matukio mbali mbali ya maisha mfano;

  • Wakati wa Interview
  • Wakati wa mitihani kwa wanafunzi n.k

Hizi ni dalili za wazi wazi ambazo mtu mwenye wasiwasi huweza kuzipata(physical symptoms of anxiety);

– Mapigo ya Moyo kwenda mbio

– Kupata hali ya kizunzuzungu

– Kupata maumivu ya tumbo

– Na wengine kuharisha

– Kupata maumivu ya kifua

– Kupata maumivu ya Kichwa

– Mwili kuchoka kupita kiasi

– Kupata shida ya kukosa Usingizi(insomnia) n.k

Je umewahi kukutana na hali kama hii…!!!!

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.