Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Vilabu vya Simba na Yanga vyapigwa faini, Yanga faini ya Tsh. milioni 5,Simba SC faini ya Tsh. milioni 1

Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji ya Bodi ya Ligi Kuu Soka Tanzania imevitoza faini Vilabu vya Simba na Yanga kwa kufanya makosa kadhaa katika mchezo dhidi yao uliyochezwa Novemba 5 2023 na Yanga kushinda 5-1.

Kamati hiyo imeipiga Yanga faini ya Tsh. milioni 5 kwa kosa la kuingia uwanjani kwa kutumia mlango sio rasmi kuelekea mchezo huo uliochezwa uwanja wa Benjamin Mkapa.

Klabu ya Simba SC imetozwa faini ya Tsh. milioni 1 kwa kosa la Wachezaji wake kuchelewa kutoka vyumbani na kupelekea mchezo huo kuchelewa kuanza kwa takribani dakika 4 kutoka vyumba vya kubadilishia nguo na kupelekea kuharibu program za mrushaji matangazo (Azam TV).

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.