Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Naona aibu inabidi ninyoe nywele zangu za usoni'

Naona aibu inabidi ninyoe nywele zangu za usoni’

Glory Chinemerem Ibe ambaye amekuwa akiota nywele za uso kama ilivyo kwa wanaume.

Anaelezea jinsi alivyokabiliana na nywele hizo tangu akiwa na umri wa miaka 14 alipoanza kupata hali hiyo.

Anasema amejaribu mbinu kadhaa ya kuzitoa na hata bidhaa mbalimbali katika jitihada zake za kuondoa nywele hizo za uso lakini bila mafanikio.

Bi Glory anasema alikuwa akiona aibu hivyo ilimbidi kuzinyoa mara kwa mara lakini sasa hana wasiwasi wowote kwani ameamua kujiamini na kujipenda jinsi alivyo.

Tazama Video hii hapa;

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass