Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Kesi za kipindupindu nchini Zambia zazidi 3,000

Kesi za kipindupindu nchini Zambia zazidi 3,000

Idadi ya kesi za kipindupindu nchini Zambia imeongezeka na kufikia 3,189 tangu mlipuko wa ugonjwa huo ulipotokea mwezi Januari mwaka jana 2023.

Mamlaka za afya nchini humo zimesema, ugonjwa huo uligunduliwa katika wilaya nne za mkoa wa Lusaka, na kuenea katika wilaya nyingine zilizo katikati ya nchi hiyo.

Jumatatu wiki hii, rais wa Zambia, Hakainde Hichilema alisema anajitahidi kuiwezesha Zambia kuwa kituo cha uzalishaji wa chanjo ya kipindupindu.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.