Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mambo muhimu ya kufanya kwa mtu anayeharisha na kutapika

MAMBO MUHIMU YA KUFANYA KWA MTU ANAYEHARISHA NA KUTAPIKA.

✅Haraka sana tumia mchanganyiko wa maji ya chumvi na sukari(ORS)

✅Kama huna ORS kunywa maji kwa wingi.

✅Nenda haraka Kituo cha huduma za afya huku ukinywa maji safi na salama kwa wingi

JE, UNAWEZAJE KUJIKINGA NA MAGONJWA YA KUHARISHA NA KUTAPIKA?

✅Kunywa maji yaliyochemshwa au kutibiwa na dawa ya Klorini.

✅Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni kabla ya kula au kumlisha mtoto.

✅Nawa mikono kwa maji tiririka na sabuni baada ya kutoka chooni.

✅Tumia choo kwa usahihi kila wakati na tupa kinyesi cha mtoto kwenye tundu la choo

#elimu_ya_afya

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.