Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Benjamin yafanya matibabu ya moyo kwa kutumia mshipa wa mkono kwa mara ya kwanza

Benjamin yafanya matibabu ya moyo kwa kutumia mshipa wa mkono kwa mara ya kwanza.

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imefanya uchunguzi wa moyo kwa mgonjwa kwa kutumia mshipa wa mkono kwa mara ya kwanza.

Kwa mujibu wa Mkuu wa kitengo cha maabara maalum ya uchunguzi wa Moyo(Catheterization Laboratory -CathLab) cha Hospitali hio, Dkt Kelvin Masava, uchunguzi na matibabu kwa njia hio mbali na kuwa na faida nyinginezo lakini inampunguzia mgonjwa muda wa kukaa hospitalini.
“Mgonjwa anarejea kwenye shughuli zake kwa wepesi na haraka ikilinganishwa na njia ya kupitia kwenye mshipa wa mguuni tuliyokuwa tukitumia wakiitumiaa awali,” anasema

Anafafanua kuwa utaratibu huu unamuwezesha mgonjwa kunyanyuka na kutembea mwenyewe mara tu baada ya kupata huduma tofauti na apo awali.

“Njia ya mshipa wa mguuni ilihitaji mgonjwa kukaa si chini ya saa sita baada ya huduma pasipo kuinuka kitandani au kukunja mguu tofauti na hii ambapo anainuka kutembea mwenyewe na baada ya saa chache anaweza kuruhusiwa kwenda nyumbani siku hiyo hiyo,” ameongeza. @wizara_afyatz

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.