Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Madaktari wapandikiza Figo ya Nguruwe kwa binadamu

Madaktari wapandikiza Figo ya Nguruwe kwa binadamu.

“Hii sio tu njia ya kunisaidia, lakini njia ya kutoa matumaini kwa maelfu ya watu wanaohitaji upandikizaji ili kuishi.”

Richard Slayman wa miaka 62 amefanikiwa kupata figo mpya kutoka kwa nguruwe ambayo ilibadilishwa vinasaba ili kupunguza hatari ya kiungo hicho kukataa kufanya kazi.

Madaktari wa upasuaji wa Marekani wanasema Rick Slayman ni “shujaa halisi” kwa kujaribu upasuaji huo.

Upasuaji huo wa saa nne, uliofanyika Machi 16 , “unaashiria hatua kubwa katika jitihada za kutoa viungo vinavyopatikana kwa urahisi zaidi kwa wagonjwa”, Hospitali ya Massachusetts ilisema katika taarifa.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.