Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni husababisha ugonjwa gani

Kunguni ni wadudu wadogo ambao chakula chao kikubwa ni damu, wadudu hawa huweza kunyonya damu kutoka kwa binadamu au wanyama mbalimbali

Kunguni wanapenda kukaa mazingira ya kujificha kama kwenye godoro,kitanda,chaga za kitanda,kwenye kapeti,kwenye nguo n.k

Kunguni hupenda sana kunyonya damu hasa wakati wa usiku ukiwa umelala

MADHARA AMBAYO MTU HUWEZA KUYAPATA BAADA YA KUNG’ATWA NA KUNGUNI(bedbugs) 

– Mtu kupatwa na miwasho mwilini

– Ngozi yako ya mwili kuwa na madoa doa au alama za kung’atwa

– Mtu kukosa usingizi na kutokulala vizuri

– Mtu kuanza kukonda

n.k

Kunguni hupenda sana kukaa kwenye mazingira machafu, na huweza kukung’ata sehemu yoyote ya mwili wako kama vile; usoni,mikononi,mgongoni n.k

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.