Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

ORODHA YA MAGONJWA YANAYOWASUMBUA SANA WATU KWA HIVI SASA

ORODHA YA MAGONJWA YANAYOWASUMBUA SANA WATU KWA HIVI SASA

Japo orodha hii haikuzingatia idadi ya watu wanaougua au hatari ya ugonjwa,hivo hizi ni namba tu haimaanishi kwamba namba moja basi ndyo ugonjwa hatari hapana,

dhumuni la makala hii ni kukuonyesha tu baadhi ya magonjwa ambayo huwapata sana watu kwa hivi sasa.

1. Ugonjwa wa Kisukari

2. Ugonjwa wa Presha au shinikizo la Damu

3. Tatizo la Vidonda vya tumbo

4. Ugonjwa wa saratani au kansa mbali mbali kama vile;

  • Saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake
  • Saratani ya matiti
  • Saratani ya damu
  • Saratani ya utumbo mkumbwa
  • Saratani ya koo
  • Saratani ya mifupa
  • Saratani ya ini
  • Saratani ya Ngozi
  • Saratani ya tumbo
  • Saratani ya tezi dume
  • Saratani ya mapafu
  • N.K

5. Tatizo la Bawasiri

6. Magonjwa ya Moyo ikiwemo yale yanayohusisha moyo kuwa mkubwa pamoja na mishipa ya damu kuziba

7. Magonjwa ya zinaa ikiwemo Kisonono,kaswende pamoja na ugonjwa wa UKIMWI

8. Magonjwa yanayohusisha mfumo wa hewa na upumuaji kama Pneumonia,Korona N.K

9. Ugonjwa wa asthma au Pumu

10. Tatizo la kuwa na uvimbe katika sehemu mbali mbali za mwili,ikiwemo pamoja na uvimbe wa Kizazi pamoja na mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake

11. Ugonjwa wa Fangasi za aina mbali mbali kama vile; Fangasi wa sehemu za siri,Fangasi wa kwenye ngozi,Fangasi wa miguuni, Fangasi wa kwenye Damu N.K

12. Ugonjwa wa UTI, ambapo kirefu chake ni Urinary track infection na maana yake ni maambukizi yanayotokea katika mfumo wa Mkojo ikiwemo katika njia ya mkojo,kibofu cha Mkojo,Figo N.K

13. Ugonjwa wa PID Kwa wanawake, ambapo kirefu chake ni pelvic inflammatory disease na maana yake ni maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke

14. Tatizo la Mvurugiko wa vichocheo vya mwili ambapo kwa kitaalam hujulikana kama hormone imbalance

15. Magonjwa yote yanayohusu mtu kuishiwa na damu ikiwemo lile la sickle cell

16. Magonjwa ya Figo

17. Tatizo au ugonjwa wa Homa ya Ini

18. Ugonjwa wa presha ya macho ambao  kwa kitaalam hujulikana kama Glaucoma

19. Ugonjwa wa Gauti

20. Matatizo ya hedhi kwa Wanawake

21. Ugonjwa wa Tezi Dume

22. Ugonjwa Kiharusi au kwa kitaalam hujulikana kama STROKE

23. Ugonjwa wa kifua kikuu maarufu kama TB

24. Tatizo la mwanaume kuwa na mbegu za kiume chache ambapo kwa kitaalam hujulikana kama low sperm count

25. Ugonjwa wa Malaria

26. Tatizo la homa ya Uti wa Mgongo

27. Tatizo la utapiamlo kwa baadhi ya watoto

28. Ugonjwa wa kifafa hasa kifafa kinachotokea wakati wa ujauzito au kifafa cha mimba

29. Matatizo au magonjwa ya akili pamoja na kuchanganyikiwa

30. Magonjwa yote yanayohusisha miguu ambapo kwa asilimia kubwa huwapata wazee

N.K

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.