Zaidi ya watoto Million 30 wenye umri wa chini ya Miaka 5 wanasumbuliwa na tatizo la Utapiamlo(acute Malnutrition)
Zaidi ya watoto Million 30 wenye umri wa chini ya Miaka 5 wanasumbuliwa na tatizo la Utapiamlo(acute Malnutrition)
Tatizo la Utapiamlo-acute malnutrition au wasting huendelea kusumbua watoto wengi zaidi Duniani,
Hasa Watoto wenye umri wa chini ya Miaka5,
Tatizo hili linataka suluhisho la haraka kwani zaidi ya nchi 15 Duniani,watoto wapo kwenye hali mbaya zaidi.
Na chanzo kikubwa cha tatizo hili ni uwepo wa NJAA, hivo kupelekea watoto wengi kukosa mlo kamili wenye virutubisho vinavyohitajika mwilini(unprecedented food & nutrition crisis).
Majanga kama vile VITA,MABADILIKO YA HALI YA HEWA ikiwemo Ukame,Mafuriko n.k, Madhara yanayoendelea kutokana na janga la UVIKO-19 Pamoja na kupanda sana kwa Garama za Maisha,
vyote hivi huchangia kwa kiasi kikubwa sana ongezeko la Tatizo hili.
Credits:World Food program
First touch
First breath
First stepsThese should be the biggest challenges young children have to face. But more than 30 million are acutely malnourished, in countries worst affected by today's crises.
Act Now. pic.twitter.com/7m3AlMDNaF
— World Food Programme (@WFP) January 12, 2023