News
Je kumeza vidonge vya Majira kwa Muda mrefu ni salama?
Mbali na maudhi madogo madogo(side effects) ambayo unaweza kuyapata kwenye karibia kila njia ya Uzazi wa mpango,
matumizi ya Vidonge vya Uzazi wa mpango(Oral contraceptives pills) kwa Muda mrefu sio Salama kwako,
baadhi ya Tafiti zinaonyesha, matumizi ya vidonge vya uzazi wa mpango kwa muda mrefu mfululizo,mfano kwa miaka 5 n.k
Huweza kukuweka kwenye hatari zaidi ya Kupata saratani ya Mlango wa Kizazi yaani Cervical cancer.