Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Serikali ya UGANDA kusambaza vyandarua milioni 28.5: #JaneRuth_Aceng

Event: #MosquitoNetCampaign23

Serikali ya UGANDA kusambaza vyandarua milioni 28.5: #JaneRuth_Aceng

Waziri wa Afya nchini Uganda @JaneRuth_Aceng;

“Mwaka huu, Serikali kwa msaada wa @GlobalFund pamoja na Against Malaria Foundation (AMF) inasambaza vyandarua milioni 28.5,

kwa lengo kuu la kupunguza ugonjwa Malaria na vifo vinavyotokana na malaria kupitia kufanikisha upatikanaji wa vyandarua kwa wote”

Waziri wa afya nchini Uganda @JaneRuth_Aceng alisema:

Kati ya Julai 15 na 20; Mji wa Buhweju, Kalangala, Kiruhura, Mitooma, Rubirizi, Sheema, Bushenyi, Serere, Tororo, Kween, Namisindwa, wilaya ya Soroti, mji wa Soroti, wilaya ya Lira na mji wa Lira watapata vyandarua.

#MosquitoNetCampaign23

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.