Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

KENYA:Mh. Nakhumicha S. Wafula, anasema viwango vya NHIF vitarekebishwa kutoka 500 hadi 300

Katibu wa Baraza la Mawaziri wa Afya nchini Kenya, Mh.Nakhumicha S. Wafula, anasema viwango vya NHIF vitarekebishwa kutoka 500 hadi 300.

Akizungumza katika Kaunti ya Bungoma leo, Waziri huyo pia alitangaza kuwa bilioni 4.1 zimetengwa katika bajeti ya mwaka huu kusaidia mpango wa Linda Mama, mpango wa uzazi bila malipo.

“Speaking in Bungoma County today, the CS also announced that 4.1 billion has been allocated in this year’s financial budget to support the Linda Mama program, a free maternity program”.

Serikali inafanyia marekebisho Kemsa na NHIF huku pia ikiwapa Vifaa community health promoters.

Mipango hii inalenga kuboresha huduma za afya pamoja na upatikanaji wake nchini Kenya.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.