Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Mhe.Samia Suluhu awakaribisha Madaktari Bingwa wa Mifupa kutoka Marekani

Mhe.Samia Suluhu awakaribisha Madaktari Bingwa wa Mifupa kutoka Marekani.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe @SuluhuSamia awakaribisha Madaktari Bingwa wa Mifupa kutoka Marekani kuja nchini Tanzania kwa ajili ya utoaji wa huduma za matibabu ya kubadilisha nyonga na goti, BUREEE!!!

Huduma zitatolewa na jopo la madaktari hao bingwa wa mifupa katika Hospitali ya Arusha Lutheran Medical Center, Tarehe 11-17 Agosti, 2023. Wananchi wote mnakaribishwa

#tunaboreshaafya  #mtuniafya

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.