Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Matokeo: Dakika 90’ za mchezo,Azam FC kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Singida FG

Matokeo: Dakika 90’ za mchezo,Azam FC kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Singida FG .

Dakika 90’ za mchezo wa kutafuta mshindi wa tatu zimemalizika kwa Azam FC kuibuka na ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Singida FG .

Kwa matokeo haya maana yake Singida wamecheza mechi mbili bila kupata bao ! Azam FC wamemaliza kwa uwiano sawa walifungwa 2-0 dhidi ya Yanga leo wameshinda 2-0 dhidi ya Singida .

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.