Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Soma kwa nini watu wafupi hawasajiliwi jeshini:Jonah Mwangi,KENYA

Naibu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi(Vice Chief of Defence) nchini Kenya Luteni Jenerali Jonah Mwangi amefichua ni kwa nini watu wafupi hawasajiliwi jeshini kwani urefu ni kipengele muhimu wakati wa kuajiri.

Alisema ili mtu aruhusiwe kujiunga na disciplined forces, mwanamke anatakiwa kuwa na urefu wa futi 5 na kuendelea huku mwanamume awe na futi tano na inchi tatu na kuendelea.

Soma Maelezo Zaidi hapa kwa Picha?
#starkenyanews

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.