Jana Cameroon ilizindua kampeni ya siku 5 ya chanjo dhidi ya kipindupindu,watu Million 1.8 kufikiwa
Jana Cameroon ilizindua kampeni ya siku 5 ya chanjo dhidi ya kipindupindu,watu Million 1.8 kufikiwa:
Siku ya Jana nchi ya Cameroon?? ilizindua kampeni ya siku 5 ya chanjo dhidi ya ugonjwa wa kipindupindu katika wilaya 11 zilizoathirika zaidi,
Kampeni hii inalenga kuwafikia watu milioni 1.8 wenye umri wa mwaka mmoja na kuendelea kwa dozi moja ya chanjo hiyo ya kumeza.
Yesterday #Cameroon?? launched a 5-day #cholera vaccination campaign in 11 of the most affected health districts, aiming to reach 1.8 million people aged one year and above with one dose of the oral vaccine.