Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Jikinge na mimba zisizotarajiwa baada ya Kuzaa

Wanawake wengi baada ya kujifungua husubiri kwanza waone hedhi ndipo waanze kuchukua tahadhari ya kujikinga na Mimba,

Kumbuka hedhi ni matokeo ya kutokuwa na urutubishaji wa Yai, endapo yai limerutubishwa huwezi ona hedhi kama ulivyokuwa unasubiria ndipo uanze kujikinga,

Hii imepelekea wanawake wengi kubeba mimba ambazo hazijapangwa baada ya kujifungua,

Una mimba nyingine na huku bado unanyonyesha,

JIKINGE NA MIMBA AMBAZO ZIPO NJE YA MPANGO

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.