Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Serikali imekubali kulipa Shilingi Bilioni 228 za NHIF

Kuhusu deni la Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) linaloidai Serikali Waziri @ummymwalimu amesema Serikali imekubali kulipa Shilingi Bilioni 228 za NHIF,

ambazo ni deni la Wizara ya Mambo ya Ndani Tsh. Bilioni 45.4, Taasisi ya Mifupa (MOI) Tsh. Bilioni 18.2, NIDA Tsh. Bilioni 17.3 na Hospitali ya Benjamin Mkapa Tsh. Bilioni 129.

Madeni haya yatalipwa ili kulinda uhai na uendelevu wa Mfuko. Mhe. Ummy ameyasema haya Bungeni wakati akijibu hoja za ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.