Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

ICJ imeanza kusikiliza kesi dhidi ya Israeli

Mahakama ya Haki ya Kimataifa, ICJ, leo imeanza kusikiliza kesi iliyofunguliwa na Afrika Kusini dhidi ya Israel, ambayo inaishutumu nchi hiyo kwa kufanya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wa Gaza.

Hayo yanajiri wakati ambapo operesheni za kijeshi za Israel katika Ukanda wa Gaza zinaulenga mji wa kusini wa Khan Younis pamoja na kambi za wakimbizi katikati ya eneo hilo.

DailyStories

Karibu DailyStories Kwa Taarifa Zote Muhimu ndani na Nje. More Updates everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me  Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.