Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

HEDHI KUBADILIKA BADILIKA NA MIMBA

HEDHI KUBADILIKA BADILIKA NA MIMBA

Kama hedhi yako ni ya kubadilika badilika yaani huna tarehe maalumu kwenye mzunguko wako wa hedhi,

usitumie kalenda kama njia ya uzazi wa mpango utabeba mimba

Kwa wanawake wenye IRREGULAR MENSTRUAL CYCLE,Kalenda sio njia ya kuaminika kwao,

Hivo chagua njia nyingine salama na ya uhakika kwako

KWA USHAURI ZAIDI KUHUSU AINA YA NJIA SALAMA KWAKO TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.