Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

VYAKULA VYA KUSAFISHA FIGO

VYAKULA VYA KUSAFISHA FIGO

Katika makala hii tumeweka list au orodha ya baadhi ya,

vyakula,matunda,viungo n.k ambavyo ni rafiki kwenye Figo

Na orodha hyo ni kama ifuatavyo;

– Kuna tikititi maji

– Malenge

– shairi

– matango

maaple

– Kabichi

– karoti

– vitunguu kijani,

– iliki, bizari

– Aina mbali mbali za Berries kama vile Cranberry,Blue berry n.k

KUMBUKA; Vitu muhimu kwa ajili ya afya ya Figo zako

• Epuka kula vyakula vya mafuta mengi

• Epuka kuwa na uzito mkubwa yaani overweight/obesity

• Epuka matumizi ya pombe

• Epuka uvutaji wa Sigara

• Fanya mazoezi ya mwili N.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.