Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

CHANZO CHA TATIZO LA KUWASHWA SIKIO

CHANZO CHA TATIZO LA KUWASHWA SIKIO

Baadhi ya watu hupatwa na tatizo hili la kuwashwa sikio moja au masikio yote mawili, je chanzo chake ni nini?

CHANZO CHA TATIZO LA KUWASHWA SIKIO

Kuna baadhi ya sababu mbali mbali ambazo huweza kusababisha mtu kuwa na tatizo la kuwashwa sikio kama vile;

✓ Tatizo la allergy, allergy hii hutokana na kutumia vitu mbali mbali katika kusafisha sikio kama vile; Njiti za kibiriti, pamba au maji ya kuogea

✓ Kuwa na tatizo la Maambukizi ya fangasi masikioni

✓ Maambukizi ya bacteria katika Mfereji wa Nje wa sikio

✓ Kuota upele au uvimbe sikioni hasa katika sehemu ya nje ya sikio

✓ Baadhi ya Wagonjwa wa Kisukari pia hupata shida hii

✓ Kunywa pombe kupita kiasi

✓ Kuathirika kwa ngozi kutokana na sumu mbali mbali

MADHARA YA TATIZO LA KUWASHWA NA SIKIO

– kero na usumbufu muda wote

– Mtu kukosa usingizi kabsa

– Kuwa na hasira

– Kuwashwa muda wote

– Kuathiri uwezo wa sikio kusikia

n.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.