Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

TATIZO LA MTOTO MDOGO KUWASHWA SEHEMU ZA SIRI na mkojo kuuma

 AFYA KWA WATOTO

TATIZO LA MTOTO MDOGO KUWASHWA SEHEMU ZA SIRI na mkojo kuuma

Fahamu kwamba hata watoto wadogo huweza kushambuliwa na Fangasi sehemu za siri pamoja na Uti,

Swala la UTI kwa watoto wadogo ni tatizo sana kwa hivi sasa, kwani watoto wengi hupata UTI,

Vitu ambavyo huweza kumuweka mtoto kwenye hatari ya kupata ugonjwa wa UTI ni pamoja na;

Mtoto kuachwa na kinyesi kwenye pampas kwa muda mrefu hali ambayo huweza kusababisha bacteria kutoka kwenye kinyesi kuingia sehemu zake za siri hasa kwa watoto wa kike.

Hivo mtoto kuumwa mkojo wakati wa kukojoa huweza kuwa ni dalili ya ugonjwa wa UTI,

Lakini hali ya miwasho sehemu za siri kwa mtoto huweza kuwa ni mashambulizi ya ugonjwa wa Fangasi wa Sehemu za siri

Endapo mtoto wako ana tatizo hili mpeleke hosiptal kwa ajili ya vipimo pamoja na Tiba

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.