Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KULALA NA WANYAMA KAMA MBWA NA PAKA

 WANYAMA

• • • • 

MADHARA YA KULALA NA WANYAMA KAMA MBWA NA PAKA


Kuna wanyama mbali mbali ambao tunaishi nao maeneo ya nyumbani kama vile paka,Mbwa n.k


Wanayama hawa tunaweza kuwapenda mpaka kuwa na tabia ya kulala nao usiku,


Je kuna madhara yoyote kwa kufanya hivo? Soma hapa.!


– Wanyama hawa huweza kuwa ni chanzo cha kutuletea magonjwa mbali mbali bila hata sisi kujua.


Wanyama hawa huweza kubeba wadudu mbali mbali kama vile; chawa,kunguni,viroboto n.k


ANGALIZO;


✓ Usilale na mnyama kama paka au mbwa ambaye ana shida ya kuharisha


✓ Usilale na Mnyama ambaye hachanjwi


✓ Usilale na mnyama ambae ana vidonda mbali mbali au michubuko


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.