Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
News

Unywaji wa pombe kupita kiasi hufanya ini kuwa na mafuta

Unywaji wa pombe kupita kiasi hufanya ini kuwa na mafuta na kuruhusu tishu nene, zenye nyuzi nyuzi zijengeke,

Kisha kuzuia mtiririko wa damu kwenye Seli hai ndani ya Ini,

Matokeo yake Seli za ini hazipati kile zinachohitaji ili kuishi.

Kisha Zinakufa, Ini hupata makovu na huacha kufanya kazi pia, na kusababisha ugonjwa wa cirrhosis.

Unywaji wa Pombe kupita kiasi ni hatari kwa afya yako

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.