Taulo huweza kuwa chanzo cha Kueneza Magonjwa mbali mbali
Taulo huweza kuwa chanzo cha Kueneza Magonjwa mbali mbali,
Moja ya vitu muhimu ni Usafi wa Taulo, pamoja nakuacha tabia ya Kushare Taulo na Watu wengine,
Kushare Taulo la Kuogea huweza kuwa chanzo cha kusambaza Magonjwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda Kwa mwingine,
Miongoni mwa magonjwa ambayo unaweza kupata kwa Kushare Taulo ni Pamoja na Fangasi, Magonjwa ya Ngozi n.k
• KUMBUKA; KUZINGATIA HAYA
– Usafi wa Taulo la Kuogea
– Kuacha Tabia ya Kushare Taulo na Watu Wengine
– Hakikisha unapata Tiba haraka baada ya kutumia Taulo nakuanza kupata Dalili ambazo sio za kawaida kama vile; Miwasho ya ngozi, ngozi kutoa upele,kuvimba n.k
KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA JUU YA TATIZO LOLOTE TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.