Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUTOKWA NA DAMU NYINGI SANA WAKATI WA HEDHI

 KUTOKWA NA DAMU NYINGI SANA WAKATI WA HEDHI.

Hali hii imekuwa ikitokea kwa wanawake wengi siku hizi.Mfano MWANAMKE aliyekuwa anabadilisha pedi mara tatu kwa siku sasa anabadilisha mara 8.n.k na mwanamke ambaye alikuwa anablid kwa siku tatu anablid kwa WIKI 2. 

VIPO VISABABISHI MBALIMBALI VYA HALI HII IKIWEMO;

1-Mvurugiko wa vichocheo mwilini(hormone imbalance)

2- Uvimbe kwenye kizazi

3- Matumizi ya baadhi ya njia za UZAZI WA MPANGO

HIVO NI BAADHI TU LAKINI KUNA MAGONJWA KAMA YA INI AU FIGO, NA HALI YA DAMU YA MWANAMKE KUSHINDWA KUGANDA.

Njia rahisi ya kugundua kuwa una tatizo la kuvuja damu kupita kiasi wakati wa Hedhi ni ubadlishaji wa PEDI ya MWANAMKE KWA SIKU.

Kwa ushauri zaidi,elimu au msaada juu ya tatizo lako tufahamishane

*Jukumu langu kubwa ni kukushauri,kukuelimisha na kukupa msaada wa kiafya pale unapohitajika.Karibu tuijenge afya Bora*

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

2 Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.