Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KINYUME NA MAUMBILE

Madhara ya kufanya mapenzi kinyume na maumbile ni pamoja na;

– Kujiweka kwenye hatari ya kupata magonjwa mbali mbali ikiwa ni pamoja na virusi vya ukimwi kutokana na kupata michubuko sehemu ya haja kubwa

– Kulegea kwa misuli ya haja kubwa hivo kusababisha mtu kuwa na tatizo la kinyesi kutoka chenyewe bila kujizuia

– Kuwa katika hatari zaidi ya kupata tatizo la Bawasiri( nyama kutokeza sehemu ya haja kubwa)

– Kupatwa na maambukizi mbali mbali ya magonjwa kama vile; maambukizi kwenye mfumo wa mkojo yaani UTI

– Kuwa katika hatari ya kupata magonjwa mbali mbali ya Zinaa

– Kuwa katika hatari ya kupata tatizo la kansa kwenye njia ya haja kubwa kutokana na mashambulizi ya virusi vya Human papilloma virus(HPV)

– Kuwa katika hatari ya kupatwa na tatizo la homa ya Ini

– Kukosa raha wakati ukifanya mapenzi kawaida

– Kuathiriwa au kuwa addicted na kitendo hiki

– Kuwa katika hatari ya Kupata tatizo la Fangasi

– N.k

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.