Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

KUZAA WATOTO WATATU KWA MARA MOJA(TRIPLETS)

 KUZAA WATOTO WATATU KWA MARA MOJA(TRIPLETS).


Watu wengi hawafaham kwamba ukizaa watoto watatu hawaitwi TWINS bali kitaalam huitwa TRIPLETS.


Watoto hawa huzaliwa watatu,japo kwa asilimia kubwa watu wamezoea kuzaa watoto Mapacha ambao ni Wawili.


Mama akiwa mjamzito(MULTIPLE PREGANCY)    watoto hawa huanza kuonekana kwa kipimo cha ULTRASOUND,….

Ambapo kwa kutumia Ultrasound tutajua idadi ya watoto waliopo katika tumbo la mama.

JAPO VIPO VIASHIRIA MBALIMBALI AMBAVYO VINAWEZA KUONEKANA KWA NJE KAMA MAMA KUWA NA TUMBO KUBWA KULIKO KAWAIDA N.K


Je unapenda watoto mapacha?,Je unapenda TRIPLETS?


KWA MAONI KUHUSU UNACHOPENDA KUFAHAM ZAIDI KUHUSU AFYA YAKO MWANAMKE AU MTOTO,USISITE NIANDIKIE KWENYE COMMENT HAPO CHINI ILI TWENDE SAWA…


KUMBUKA;Jukumu langu ni kukuelemisha,kukushauri na kukupa msaada wa kiafya paleinapohitajika…!!!!! karibu

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.