Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MAKUNDI YA DAMU NA MADHARA YAKE

  MAKUNDI YA DAMU NA MADHARA YAKE

➡️ Blood Group

MAKUNDI YA DAMU(Blood groups) PAMOJA NA MADHARA YANAYOTOKANA NA BAADHI YA MAKUNDI YA DAMU KWA MWANAMKE.

Makundi ya damu ambayo yanatumika sana ni A,B,AB na O.

ambapo hapo kuna kitu kinaitwa Rhesus Factor ndicho kitu kinachoangaliwa sna katika kuleta madhara kwa mwanamke hasa akiwa mjamzito. 

MFANO; kama mwanamke ana blood group B Rhesus factor negative, pindi akibeba ujauzito, yupo kwenyehatar ya kupoteza Ujauzito au mtoto hasa hasa wa pili kujifungua kwahyo lazima apate msaada kama ana kundi lolote la Damu ambalo lina Rhesus factor NEGATIVE.

Karibu Sana..!!



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.