FAIDA YA MAZOEZI KWAKO
MAZOEZI
• • • • • •
.
FAIDA YA MAZOEZI
Mazoezi ya mwili husaidia kurekebisha shinikizo la damu [blood pressure]
Mazoezi ya mwili huruhusu damu nyingi zaidi kufika sehemu zote za mwili na kufanya mwili mzima kuwa na joto.
Mazoezi ya mwili uweza kupunguza mfadhaiko wa mwili na moyo, na kukufanya uweze kujisikia vizuri zaidi katika maisha yako.
Mazoezi ya mwili ni tiba bora kwa kuondoa wasiwasi na msongo wa mawazo.
Mazoezi ya mwili hufanya akili kuchangamka na kuongeza uwezo wa kufikili na akili.
Mazoezi ya mwili husaidia kurutubisha kinga za mwili na kufanya kinga kuwa imara kupambana na magonjwa