Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

JINSI UWATU(FENUGREEK) UNAVYOWEZA KUKUONDOLEA CHUNUSI


• • • • • •

Leo kwenye safu yetu ya tiba kwa chakula tutaona jinsi Uwatu (fenugreek) unavyoweza kukuondolea chunusi kabisa na ukasahau tatizo hilo.


JINSI YA KUUANDAA


Saga uwatu ili upate unga wake Baada ya hapo uchukue unga huo uweke kwenye kibakuli changanya na asali kiasi na maji masafi kiasi. Ukimaliza paka usoni kisha fanyia masaji uso wako.


Masaji hii itakusaidia unga wa uwatu kuingia ndani ya ngozi na kutibu kabisa tatizo hilo la chunusi pamoja na vipele vidogovidogo.


Lakini ili kuwa na ngozi nzuri zaidi changanya na sukari pia itakusaidia.

.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.