Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MAMA MJAMZITO & PARACHICHI

PARACHICHI

• • • • • •

MAMA MJAMZITO & PARACHICHI


Parachichi ni tunda bora sana kwa mama mjamzito.Huwa na utajiri wa folate,potassium,vitamin C & B6 ambavyo huimarisha utengenezwaji wa ubongo na mfumo wa fahamu wa mtoto kwa ujumla wake. Husaidia sana katika kumkinga mtoto na hatari ya kuzaliwa na tatizo la mgongo wazi.


Kwa mama mjamzito,huimarisha kinga ya mwili wake katika kuutunza ujauzito huu pamoja na changamoto ya kuugua magonjwa ya asubuhi mara kwa mara.Kwa kipekee kabisa,hupunguza tatizo la kuvimba,kuwashwa na maumivu ya miguu hasa kwenye hatua ya 3 ya ujauzito

.

.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.