Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MATUMIZI YA DAWA AINA YA PARACETUM AU PANADOL KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

PARACETUM/PANADOL


Hii ni jamii ya dawa ambayo hutumika sana katika maisha ya Kila siku ya Watu. Dawa hii hutibu matatizo mbalimbali Kama;


– Maumivu ya aina yoyote kama vile,maumivu ya Kichwa,Kiuno,kidonda n.k


– Dawa hii husaidia kushusha Homa kwa mtu yeyote, mwenye umri wowote


– Na Mengine.


ANGALIZO; Dawa hii hutakiwa kutumika kwa dose sahihi kwa Umri sahihi,kwani sio dawa nyepesi kama wengi wanavyodhani, Hapa tunakumbuka msemo ambayo husema,ukitaka Kujua 1×3 sio sawa na 3×1 basi wewe andikiwa Dawa 1×3 Halafu umeze 3×1.


 Lengo la Msemo huu ni kukumbusha kuzingatia matumizi sahihi ya Dose za Dawa.


Kwani dawa huweza kugeuka kuwa sumu,badala ya kukuponya basi ikakuua.

.

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Karibu Sana..!!!




Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.