Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

MWANAMKE ANASHAURIWA KUKOJOA MARA BAADA YA TENDO LA NDOA SABABU HIZI HAPA

KUKOJOA

• • • • • •

MWANAMKE ANASHAURIWA KUKOJOA MARA BAADA YA TENDO LA NDOA SABABU HIZI HAPA….


. Katika hali ya kawaida asilimia kubwa ya wanawake  huwa wana utaratibu wa kukojoa mara baada ya kujamiiana ,hii sio tu husaidia kusafisha uke bali husaidia kujikinga na maambukizi ya UTI


Kikawaida wakati wa kujamiiana husababusha wadudu wasababishao UTI kuhama kutoka mahala pake (sehemu ya haja kubwa ) na kuhamia ukeni na zaidi wanaweza kwenda katika njia ya mkojo(urethra)


Ukojoaji mara tuu baada ya kujaamiiana husaidia kuflush bacteria hao hivyo kumkinga mwanamke na ugonjwa wa UTI

njia Hii pia ikifanyika kwa wananume inasaidia pia kuwakina na UTI.

.

.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.