Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

DAWA YA ALLERGY YA KUJIKUNA KWENYE NGOZI(soma hapa)

 ALLERGY

• • • • •

DAWA YA ALLERGY YA KUJIKUNA KWENYE NGOZI(soma hapa)

Kuna baadhi ya watu wana shida ya kujikuna sana kwenye ngozi hasa baada ya kufanya mambo kadhaa kwa mfano;

– Baada ya kula nyama flani, kama vile ya ng’ombe,mbuzi,kuku N.K

– Baada ya kuoga na maji ya Mvua

– Baada ya kupaka mafuta flani

– Baada ya kula mafuta flani

– Baada ya kunywa dawa flani

– Baada ya kupaka dawa flani hasa dawa za nywele N.K

Kwa asilimia kubwa chanzo cha tatizo hili ni Mzio au allergic reaction dhidi ya baadhi ya vitu hasa vyakula kama vile baadhi ya Nyama au mafuta yakupikia,

Hali hii ya allergy au Mzio huifanya ngozi yako ya mwili kuwasha sana na kuwa kama kwenye picha hapo.

Hivo kwa lugha nyingine tunasema watu hawa wana allegery na vitu hivi, japo zipo allergy nyingine kama zinazotokana na vitu kama vumbi, Perfume, baadhi ya vyakula N.K

Hivo kama unashida hii yakujikuna sana kwenye ngozi,kuna matibabu mbali mbali au dawa mbali mbali ambazo ni nzuri kutumia na hilo tatizo likaisha kabsa, Na moja ya dawa hizo ni Pamoja na CETRIZINE.

Dawa hii ni nzuri sana kukusaidia kama una tatizo la kujikuna kwenye ngozi kutokana na allergy ya matumizi ya vitu mbali mbali

KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.

Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.