Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

SOMA KUJUA UMUHIMU WA WATOTO KULALA MCHANA

AFYA KWA WATOTO

• • • • • •

SOMA KUJUA UMUHIMU WA WATOTO KULALA MCHANA

 

Wazazi wengi huwalazimisha watoto kulala mchana bila kujua umuhimu wa kufanya hivo, wengine hawajui na wala hawafanyi jitihada za kuwalaza watoto mchana. Wengine hufanya hivo kupunguza vurugu na mikikimikiki ya watoto, Wengine wanafanya kwa sababu ya mazoea, kuiga kwa majirani na sababu nyingi zingine. Tambua umuhimu wa mtoto kulala mchana;


➡️ Husaidia ukuaji wa mtoto hasa wa ubongo na viungo vya mwili


➡️ Inaongeza ubunifu na ufanisi katika shule na maeneo mengine


➡️ Inaongeza uwezo wa kujifunza na kumbukumbu


➡️ Inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo


Kwa sababu hizo ni muhimu sana wazazi kuhimiza watoto kulala mchana kwaajili ya afya bora na ukuaji bora. 


Tunaweza kutoona faida yake mara moja lakini baadae tukaona matokeo makubwa hasa kwenye ukuaji wao na uwezo wa akili zao darasani, fikra zao na mambo yanayoendana na kuepuka magonjwa kama vile ya moyo. Mhimize mtoto alale mchana kwaajili ya afya bora.


Cc: @_afyazone



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.