Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?

 MIMBA

• • • 

JE MWANAMKE ANAWEZA KUPATA MIMBA AKIWA ANATUMIA VIZUIZI VYA MIMBA?


Hili ni swali ambalo wanawake wengi hujiuliza,


Hapa nazungumzia vizuizi mimba kama vile; sindano,vidonge,vipandikizi pamoja na Lupu au Kitanzi.


Sinzungumzii njia kama kalenda.


Ukweli ni kwamba,Mwanamke hawezi kubeba mimba akiwa anatumia njia hizi kwa usahihi wake.


✓ Kesi nyingi za wanawake ambao wanamimba lakini wanatumia vizuizi mimba, Ujue walibeba ujauzito kabla ya kuanza kutumia, na walipofika kwa watoa huduma wa afya, hawakupimwa mimba wakaanzishiwa njia ya uzazi wa mpango,


Matokeo yake wanatumia njia flani ya uzazi wa mpango lakini wanaona kadri siku zinavyokwenda mimba huendelea kukua.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.