Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

SEHEMU ZA SIRI ZA MJAMZITO KUKOSA UTE UTE(chanzo)

 MJAMZITO

• • • • •

SEHEMU ZA SIRI ZA MJAMZITO KUKOSA UTE UTE(chanzo)


Tatizo la kukosa ute ute na kuwa mkavu ukeni kwa mama mjamzito huweza kutokea, Na sababu kubwa ni kutokana na mabadiliko makubwa ya vichocheo mwilini ambayo hufanyika kipindi cha ujauzito.


Katika sehemu za siri za mwanamke yaani ukeni kuna tezi ambalo huhakikisha ukeni kunakuwa na hali ya unyevu unyevu pamoja na ute ute, mabadiliko ya vichocheo mwilini huweza kusababisha tezi hili lishindwe kufanya kazi vizuri.


Mbali na hivo, kuna sababu nyingine kama maambukizi ya magonjwa mbali mbali kipindi cha ujauzito kama vile; UTI, Fangasi sehemu za siri au Maambukizi katika via vya uzazi yaani PID,


mama mjamzito ni rahisi kushambuliwa na magonjwa mbali mbali kama UTI kutoka na hali ya ujauzito ambayo hupelekea kushuka kwa kinga ya mwili


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.