Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UNYWE DAWA MUDA GANI BAADA YA KUTAPIKA?

 DAWA

• • • • •

UNYWE DAWA MUDA GANI BAADA YA KUTAPIKA?


Kwa namna moja au nyingine mtu huweza kutapika baada ya kunywa dawa, 


Sasa anajiuliza anywe dawa tena au afanyeje?


Fahamu hili; Kama umetumia dawa halafu ukatapika kabla ya Nusu saa kuisha yaani dakika 30, unaweza kutumia tena dawa hiyo


Lakini endapo umetapika baada ya nusu saa kuisha hutakiwi kunywa dawa tena.


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.