Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

UVUTAJI WA SIGARA NA AFYA YA MAPAFU

 SIGARA

• • • • • • 

UVUTAJI WA SIGARA NA AFYA YA MAPAFU


Ukweli ni kwamba uvutaji wa sigara huharibu kwa kiasi kikubwa sana Mapafu yako.


Pia huweka mapafu yako katika kupata magonjwa kama vile Kansa au Saratani ya Mapafu.


Lakini pia habari njema ni kwamba ukiacha sigara Leo ndani ya muda kidogo, Mapafu yako yataanza kujirekebisha upya na seli zilizokufa kuzalishwa zingine kwa haraka zaidi


kitendo ambacho kitasaidia sana kwa mapafu yako ambayo yameathirika kwa Sigara


Hivo hujachelewa bado,unaweza kuacha sasa kuvuta sigara kwa ajili ya afya ya mapafu yako na mwili wako kwa ujumla



KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.


PICHA; Pafu la kwanza ni la mtu ambaye havuti sigara(non smoker) na Pafu la Pili ni la mtu ambaye kaathiriwa sana na sigara(smoker)



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.