Kwa Ushauri na Tiba Juu ya Tatizo lolote linalokusumbua TUWASILIANE HAPA.

Bofya hapa
Magonjwa

DAWA ZA MINYOO KWA MWANAMKE/MAMA MJAMZITO

 MJAMZITO

• • • • •

DAWA ZA MINYOO KWA MWANAMKE/MAMA MJAMZITO


Kama umewahi kwenda na kuhudhuria kliniki ukiwa mjamzito,utakubaliana na mimi kwamba wakina mama Wajawazito hupewa dawa zinazoitwa MEBENDAZOLE,


Je dawa hizi ni kwa ajili ya nini?


Wakina mama wajawazito hupewa Dawa za MEBENDAZOLE KWA AJILI YA TATIZO LA MINYOO


Je kwanini wanawake wajawazito Wasipewe ALBENDAZOLE ambazo watu wengi hutumia kwa ajili ya kutibu Minyoo?


UTAFITI: 


Baada ya utafiti kufanyika ambao ulihusisha panya pamoja na Sungura wajawazito,ulionyesha matumizi ya Albendazole huweza kuleta madhara kwa viumbe ambavyo vipo tumboni,


Japo hakuna ushahidi wa moja kwa moja kwa Binadamu.



Hivo basi, kutokana na utafiti huo ikaonekana chaguo bora zaidi kwa mama mjamzito iwe ni mebendazole badala ya Albendazole


KUJUA kuhusu MAHUDHURIO YA KLINIKI kwa Mama mjamzito,Soma hapa


KWA USHAURI ZAIDI,ELIMU AU TIBA TUWASILIANE KWA NAMBA +255758286584.



Dr.Ombeni Mkumbwa

Ushauri|Tiba|CheckIn ContactUs; +255758286584 or INBOX. For More Healthtips everyday Link In http://cdp.pvh.mybluehost.me Also Follow us on Instagram @afyaclass

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.